MKATABA WA MAKABIDHIANO YA BAJAJ I
Mimi PAUL FRANCIS AFFAH nimemkabidhi BAJAJ I yangu bw . ELIAS NIKODEM ELIAS aina ya TVS
yenye namba za usajili MC 578 BRL yeny e rangi NYEUSI .
SHERIA NA MASHARTI YA MKATABA HUU WA MAKABIDHIANO NI KAMA IFUATAVYO:
1. Bwa ELIAS NIKODEM ELIAS anatakiwa kuwasilisha kiasi cha Tshs 20,000 kila siku ndani
ya miezi 9 amba yo ni sawa jumla ya Tsh 5,500,00 0/= mkataba utakapoisha .
2. Muda wa mkataba ni miezi 9 kuanzia tarehe 1